Overblog
Edit post Follow this blog Administration + Create my blog
23 Jun

MMILIKI WA MAZEMBE AHUKUMIWA KIFUNGO JERA...

Published by elipidius geofrey  - Categories:  #HABARI

Mgongombea upinzani Nchini Jamhuri ya Kidemocrasia ya Congo Moise Katumbi amehukumiwa kifungo cha miaka 3 Jela na kupigwa faini ya dola milioni 6 kwa kosa la kununua nyumba kinyume cha sheria kwenye mji ulio mashariki mwa nchi wa Lubombasi.

STARZTZ

MMILIKI WA MAZEMBE AHUKUMIWA KIFUNGO JERA...
Comment on this post

About this blog

Kwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974