IBRA DA HUSTLER AFUNGUKA HAYA JUU YA MSICHANA JOKATE...
Rapper huyu wa kundi la Nako 2 Nako, Ibrah Da Hustler amesema staa wa kike anaetamani kuwa na mahusiano nae ni Jokate Mwegero.Hustler amesema kuwa Jokate ana kila sifa anazozitaka kutoka kwa mwanamke amemwagia sifa za kumwaga "Choice yangu kama kudate na kastaa ka Bongo katakuwa kale kabinti kanakoitwa Jokate Mwegero"