Overblog
Edit post Follow this blog Administration + Create my blog

Kwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974

11 May

JUSTIN BIEBER: SITAPIGA PICHA NA MASHABIKI.

Published by elipidius geofrey  - Categories:  #MICHEZO NA BURUDANI

JUSTIN BIEBER: SITAPIGA PICHA NA MASHABIKI.
JUSTIN BIEBER: SITAPIGA PICHA NA MASHABIKI.
JUSTIN BIEBER: SITAPIGA PICHA NA MASHABIKI.
JUSTIN BIEBER: SITAPIGA PICHA NA MASHABIKI.

Iwapo hujagundua basi ujue kwamba nyota wa muziki wa Pop Justin Bieber yuko katika ziara ya ulimwengu.

Kwa sasa yuko nchini Marekani ambapo alionekana amepumzika katika mbuga moja kabla ya tamasha yake mjini Boston.

Bieber ambaye alikuwa hana viatu aliwavutia mashabiki lakini akakataa kuzungumza nao hadi watakapoweka simu zao chini.

Haijulikani iwapo picha alizochukua na mashabiki wake katika lango la mbuga hiyo zilikuwa za mwisho,lakini baadaye jioni alichapisha katika mtandao wake wa Instagram kwamba hatapiga picha tena na mashabiki.

''Iwapo utakutana nami mahali ujue kwamba sitapiga picha tena'',aliandika.

Alielezea vile watu hawaezi hata kumsalimia ama kujua kwamba hata yeye ni binaadamu na hivyobasi kumfanya kujihisi kama mnyama na sasa anataka kuheshimiwa.

Aliongezea: Najua kwamba watu hawatafurahia lakini hakuna mtu anayenidai picha.

STARZTZ

Comment on this post

About this blog

Kwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974