HATIMAE DK JOHN MAGUFULI AWEKA MSWAHARA WAKE ADHARANI. SOMA HABARI KAMILI HAPA
Baaada a baadhi ya Wabunge wa vyama vya Upinzani Tanzania kumtaka Rais Magufuli kuanika hadharani mshahara wake pamoja na makato ya Kod, Rais Magufuli aamua kuuweka wazi mshahara wake akiwa Nyumbani kwake kupitia Clouds kwenye kipindi cha 360Clouds na kusema mshahara wake ni Tsh. Milion 9.5 na aksema yupotayari kuonyesha Nyaraka za malipo ya mshahara wake na kutoa mchanganuo akimaliza mapumziko Mkoani Geita.